Event

SIKU YA KUTOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA

Advertisement

Kila mwaka tunakuwa na kipindi maalum kwa ajili ya kuwahudumia watoto yatima, walemavu, watoto, wazee wasiokuwa na usaidizi na waliotelekezwa.

Tuwape chakula, mavazi mfano mashati, kabtura, magauni, viatu, nguo za ndani

Tucheze nao pamoja, tuimbe nao nyimbo za kumwabudu na kumwadhimisha na kufurahi pamoja



Advertisement
Share with someone you care for!

Best of Dar Es Salaam Events in Your Inbox